Esteban Lepaul (Rennes/Angers) amekuwa gumzo msimu huu akiongoza chati ya wafungaji bora akiwa na mabao 18. Anafuatiwa kwa karibu na JoaquĆn Panichelli wa Strasbourg mwenye mabao 16. Mason Greenwood wa Marseille pia yumo kwenye kinyang'anyiro hicho akiwa na mabao 15 hadi sasa.